![](https://thechanzo.com/wp-content/uploads/2021/08/6-640x395.jpg)
Serikali, Wadau Waeleza Mikakati ya Kuboresha Kilimo cha Mwani Zanzibar
Serikali visiwani humo inapanga mikakati ya kuwawezesha wakulima kupanda mwani kwenye maji ya kina kirefu ili kukwepa athari zitokanazo na mabadiliko ya tabia ya nchi yanayoripotiwa kudumaza mwani unaolimwa kwenye maji madogo.