
Wahitimu wa Mwaka 2015 Kuwa Kipaumbele Nafasi za Ajira Serikalini
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,Angellah Kairuki ameeleza kuwa wahitimu waliomaliza shule mwaka 2015 watakuwa kipaumbele katika nafasi za ajira zilizotangazwa.