
Uchanganyaji R na L na Makosa Mengine ya Kiswahili Yafanywayo na Wanahabari
Ni afadhali vyombo vya habari vikafanya makosa makubwa ambayo yanaweza kugunduliwa kuwa yanatokana na uhaba wa maarifa husika; ni aibu kwao kufanya makosa madogo madogo na ya kizembe.







