
Kesi ya Uhaini Juni 16, 2025: Tundu Lissu Aamua Kujiwakilisha Mwenyewe, Aeleza Vikwazo Mawakili Wake Walivyokutana Navyo
Kutokana na malalamiko ya kukosa faragha na mawakili wake, Tundu Lissu aliamua kuanzia leo kuendelea mbele atakuwa akijiwakilisha mwenyewe, jambo ambalo Mahakama imeliridhia.








