
Zubayda Kachoka Lakini Ally Saleh Anaendelea Kupambana Zanzibar
Saleh, gwiji la utangazaji kutoka Zanzibar, anasema amedhamiria kuyanyoosha yote yaliyopinda kwenye jamii kupitia uandishi wake.
Saleh, gwiji la utangazaji kutoka Zanzibar, anasema amedhamiria kuyanyoosha yote yaliyopinda kwenye jamii kupitia uandishi wake.
Zabuni kadhaa, zikiwemo za kuendesha bandari na viwanja vya ndege, zimetolewa kinyume na sheria ya manunuzi ya umma ya Zanzibar.
Tamasha hilo la kwanza na la aina yake lilivutia zaidi ya watu 1,500 kutoka ndani na nje ya nchi.
Kijana huyo anadaiwa kupigwa na maafisa wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya hadi kupoteza maisha.
Women are unfairly represented in political and democratic leadership in Zanzibar, representing only 38 per cent of the House of Representatives.
Wananchi wameahidi kutoondoka kwenye eneo hilo bila fidia ambayo Serikali imegoma kulipa, ikisema haiwezi kulipa fidia kwa wavamizi.
Wanawake wanaamini kwamba umiliki wa ardhi kisheria utawasaidia katika jitihada zao za kukabiliana na ukatili wa kijinsia unaotajwa kutamalaki visiwani humo.
It follows a meeting between the WHO Country Representative and Zanzibar’s Minister of Health.
Ni Khairat Juma Bakari na Laura Msemwa, wanawake wawili waliouwawa kikatili Zanzibar, kwenye matukio mawili tofauti.
Miundombinu na mipango miji isiyo rafiki yatajwa kukwamisha uokozi wa haraka pindi majanga ya moto yanapotokea.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved