
ACT-Wazalendo Isiipatie CCM Inachotaka kwa Kujitoa Serikali ya Umoja wa Kitaifa
Viongozi wa ACT-Wazalendo wanapaswa kulitafakari kwa kina suala hili na kutoruhusu kuendeshwa na hasira na jazba. Hasira, hasara, Waswahili wanaonya.

Viongozi wa ACT-Wazalendo wanapaswa kulitafakari kwa kina suala hili na kutoruhusu kuendeshwa na hasira na jazba. Hasira, hasara, Waswahili wanaonya.

Hizi hapa sababu nne za kwa nini SUK Zanzibar imefeli na kwa nini ni wakati wa kutafakari mbinu mbadala za ushiriki wa upinzani katika Serikali.

Ismail Jussa, mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT-Wazalendo, anatolea ufafanuzi wa suala hili na mengineyo mengi kwenye sehemu hii ya kwanza ya mahojiano maalum kati yake na The Chanzo.

Suluhisho sio kujiunga ama kutojiunga kwa ACT-Wazalendo katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Suluhisho ni kufanyika kwa mjadala wa kina kuhusu tuhuma za kasoro za kimfumo zinazoibuka kila wakati wa uchaguzi na kuzifanyia kazi.

Tatizo kubwa zaidi si tu ukimya wa wasanii hivi sasa, bali mwelekeo wa muda mrefu wa maudhui ya sanaa yao ambayo tayari yalikuwa yamejitenga na maisha halisi ya wananchi.

Ikiwa siasa ni tasnia inayohusisha hisia kali na za watu wengi, uamuzi wa kushiriki kwenye shughuli za Rais katika kipindi hiki kunajenga hisia kali za uasi na chuki kwa umma dhidi ya wanachama na chama chetu.

Kufuatiwa kufungiwa kwa mtandao wa X, Instagram imeonekana kuibuka kama kiota kipya cha mijadala moto ya kisiasa, ikibadilisha namna watu walivyokuwa wakiichukulia.

Nadhani kuna umuhimu mkubwa wa kuwa na muafaka wa kitaifa, muafaka kama ule uliofanyika mwaka 1960 miezi mitatu kabla ya uchaguzi.

Maridhiano hayakuwa tu makubaliano ya viongozi wawili, bali Azimio la Kitaifa, lililotokana na matumaini na matarajio halali ya Wazanzibari kuona mustakabali wa amani, haki, na mshikamano.

Kuondoa tatizo hili imependekezwa ihakikishwe kila Mtanzania anakuwa na cheti cha kuzaliwa kitakachopatikana kwenye mfumo, ili kuondoa udanganyifu wakati wa kusajili ndoa.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved