
ACT-Wazalendo Isiipatie CCM Inachotaka kwa Kujitoa Serikali ya Umoja wa Kitaifa
Viongozi wa ACT-Wazalendo wanapaswa kulitafakari kwa kina suala hili na kutoruhusu kuendeshwa na hasira na jazba. Hasira, hasara, Waswahili wanaonya.
Viongozi wa ACT-Wazalendo wanapaswa kulitafakari kwa kina suala hili na kutoruhusu kuendeshwa na hasira na jazba. Hasira, hasara, Waswahili wanaonya.
Hizi hapa sababu nne za kwa nini SUK Zanzibar imefeli na kwa nini ni wakati wa kutafakari mbinu mbadala za ushiriki wa upinzani katika Serikali.
Ismail Jussa, mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT-Wazalendo, anatolea ufafanuzi wa suala hili na mengineyo mengi kwenye sehemu hii ya kwanza ya mahojiano maalum kati yake na The Chanzo.
Suluhisho sio kujiunga ama kutojiunga kwa ACT-Wazalendo katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Suluhisho ni kufanyika kwa mjadala wa kina kuhusu tuhuma za kasoro za kimfumo zinazoibuka kila wakati wa uchaguzi na kuzifanyia kazi.
Kuondoa tatizo hili imependekezwa ihakikishwe kila Mtanzania anakuwa na cheti cha kuzaliwa kitakachopatikana kwenye mfumo, ili kuondoa udanganyifu wakati wa kusajili ndoa.
Dunia inayowapa wasichana nafasi sawa huanza kwa wavulana na wanaume wanaoelewa maana ya usawa. Kuwalea wavulana wanaoheshimu na kuwawezesha wasichana ni hatua muhimu ya kuvunja mifumo ya ukandamizaji wa kijinsia.
Serikali ya Tanzania, kwa kushirikiana na wadau wengine, kama vile wa mazingira, inapaswa kuchukua hatua za haraka kutambua mchango wao na kuboresha mazingira ya kazi yao.
Maridhiano yalikuwa ahueni ya kisiasa kwa Rais na Serikali yake. Kutoa sifa kwa suala ambalo halikutimilika ni sawa na kujipakaa mafuta mwilini bila kuoga.
Tunawapongeza kwa huduma zao hizo kwa jamii, na kutumai kwamba kutambuliwa kwao huko kutawahamasisha wengine kubuni mbinu anuwai zitakazowawezesha kuzitumikia vyema jamii zao.
Kuna yaliyowagawa wananchi na kulitia aibu taifa, lakini pia yaliyowaunganisha na kuwafakharisha Watanzania.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved