
Tukiwa Ukingoni mwa Mwaka, Tukumbushane Baadhi ya Matukio Muhimu Yaliyoikumba Tanzania 2024
Kuna yaliyowagawa wananchi na kulitia aibu taifa, lakini pia yaliyowaunganisha na kuwafakharisha Watanzania.
Kuna yaliyowagawa wananchi na kulitia aibu taifa, lakini pia yaliyowaunganisha na kuwafakharisha Watanzania.
Ukiangalia maamuzi mabovu yanayoendelea sasa hivi, huoni kama yanawakera Simba na Yanga, na kama ni jambo linalohitaji kukemewa na kuchukuliwa hatua sahihi.
CHADEMA wamefanikiwa kutuma ujumbe kwamba Serikali inayotumia jina la Watanzania kuhalalisha maamuzi yake mbalimbali, kimsingi, haijali maslahi ya Watanzania.
Jumatano ya Septemba 4, 2024, ACT Wazalendo tunafurahi na kuenzi maisha ya kisiasa na uongozi ya Juma Duni Haji, kiongozi wetu aliyetuvusha kwenye mapito mengi.
Tulijua mapema kwamba mageuzi yanayoahidiwa na Samia ni kiini macho tu, labda sasa ni zamu ya wakubwa wengine wa dunia, walengwa wakubwa wa lugha ya mageuzi ya Rais Samia, kufikia hitimisho hilohilo?
Wanaume tukiacha leo kuwafanyia ukatili wanawake chini ya visingizio mbalimbali, tatizo litaacha kuwa kubwa kama linavyoonekana hivi sasa.
Tofauti na SUK ya 2010-2015 ambapo kambi mbili ndani ya Serikali, chama tawala na upinzani, zilifanya kazi kwa kuhofiana na kutoaminiana, SUK ya Mwinyi imekuwa tofauti kabisa.
Jamhuri ya Korea ya Kusini imekua nchi ya kupigiwa mfano wa namna nchi za Afrika zinaweza kujifunza kwao na kuendeleza nchi zao kufuta umasikini na kua tajiri, tena ikizingatiwa kuwa Korea Kusini haina rasilimali nyingi kama nchi za Afrika.
Tukisema tusubiri mpaka mambo yawe kama vile tunavyoyatamani inaweza kutuchukua karne mpaka tuweze kutimiza wajibu wetu wa kiraia, au pengine tusiweze kufanya hivyo milele.
Siasa za vyama vya upinzani zenye kuashiria chuki dhidi ya kikundi fulani cha wananchi ni zawadi kwa CCM inayoiwezesha kuendelea kubaki madarakani.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved