Getting Ahead or Getting Exploited?: Here Is How We Can Make Bodaboda, Bajaj Driving in Dar Better

It is high time now that decision-makers recognise drivers’ contributions, appreciate their experience, and respect their ideas.
Here’s How ACT-Wazalendo’s Proposal on Sustainable Social Protection Looks Like in Numbers

ACT-Wazalendo is calling for the introduction of social protection scheme that cushions people from falling into poverty. But what does the proposal look like in numbers?
Ni Upi Mtazamo wa Wakulima Wadogo Juu ya Mabadiliko ya Tabia ya Nchi?

Wakulima wadogo wameendelea kutumika kama mawakala wa masulihisho potofu kwenye mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabia ya nchi.
Wakulima Wadogo Hawaridhishwi na Hali ya Ushirika Tanzania

Wakulima wanadai kwamba ushirika umeshindwa kuwasaidia kuondokana na changamoto zao za kila siku ikiwemo ukosefu wa masoko.
Reflecting COP26 Outcomes: The UN Climate Change Conference Falls Short – Again

COP26 failed to live up to the expectations after two weeks of intensive negotiations.
Hivi Ndivyo UVIKO-19 Inavyoliza Wafanyakazi Sekta ya Utalii Zanzibar

Wafanyakazi wengi ambao kazi zao zimeharibiwa na janga la UVIKO-19 hawaoni juhudi za Serikali kupunguza makali yatokanayo na athari za ugonjwa huo hatari.
Machinga Aliyevua Nguo Kuzuia Meza za Wenzake Kuhamishwa Afunguka

Anasema ni muhimu machinga na wenye maduka wakae mezani kujadili changamoto zao na kutafuta suluhu ambazo hazitamuumiza yoyote kati yao.
Regressive Taxes Disproportionately Affect Tanzania’s Low-Income Earners

Tanzania’s tax system should be progressive enough to enable high-profit makers in the economy to pay more taxes than low-income earners and start-ups.
Wadau Wasisitiza Utekelezaji wa Vitendo Mikakati Elimu Jumuishi

Wito huo unafuatia ripoti inayoonesha kwamba Tanzania kwa sasa haina mwongozo wowote unaoeleweka wa namna bora ya kugawa bajeti inayotengwa kwenye elimu ili ielekezwe kwa ajili ya elimu jumuishi.
Wananchi Mkuranga Walia Na Athari Za Mabadiliko Tabia Nchi

Kina cha Bahari ya Hindi kimeongezeka na kufanya mashamba kutokufaa tena kwa kilimo kwa sababu ya chumvi, huku uvuvi nao ukidumaa kwa samaki kuwa adimu kitu kinachopelekea watu kuvihama vijiji vyao na kuhamia sehemu nyengine katika kujitafutia maisha.