Machinga Aliyevua Nguo Kuzuia Meza za Wenzake Kuhamishwa Afunguka
Anasema ni muhimu machinga na wenye maduka wakae mezani kujadili changamoto zao na kutafuta suluhu ambazo hazitamuumiza yoyote kati yao.
Anasema ni muhimu machinga na wenye maduka wakae mezani kujadili changamoto zao na kutafuta suluhu ambazo hazitamuumiza yoyote kati yao.
Tanzania’s tax system should be progressive enough to enable high-profit makers in the economy to pay more taxes than low-income earners and start-ups.
Wito huo unafuatia ripoti inayoonesha kwamba Tanzania kwa sasa haina mwongozo wowote unaoeleweka wa namna bora ya kugawa bajeti inayotengwa kwenye elimu ili ielekezwe kwa ajili ya elimu jumuishi.
Kina cha Bahari ya Hindi kimeongezeka na kufanya mashamba kutokufaa tena kwa kilimo kwa sababu ya chumvi, huku uvuvi nao ukidumaa kwa samaki kuwa adimu kitu kinachopelekea watu kuvihama vijiji vyao na kuhamia sehemu nyengine katika kujitafutia maisha.
Watanzania masikini hawana shida na bima ya afya bali mfumo imara wa taifa wa afya ya jamii ambao utasukumwa na utoaji huduma na sio utafutaji wa faida.
Critics accuse Tanzania Revenue Authority (TRA) of milking cows the government doesn’t feed.
Accessibility of essentials for human survival and prospects of humankind — health care and education respectively — reveal how inequality among the haves and the have-nots prevail.
Sambamba na kurudisha stadi za kazi shuleni ni muhimu sana pia kurudisha mitaala inayochochea fikra na ubunifu.
Tusiangalie takwimu tu, tujue kwamba kila tarakimu ya mtoto aliyekosa fursa ya kujiendeleza kielimu ni mtoto mwenye ndoto yake.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved