
Ni Upi Mtazamo wa Wakulima Wadogo Juu ya Mabadiliko ya Tabia ya Nchi?
Wakulima wadogo wameendelea kutumika kama mawakala wa masulihisho potofu kwenye mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabia ya nchi.

Wakulima wadogo wameendelea kutumika kama mawakala wa masulihisho potofu kwenye mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabia ya nchi.

Wakulima wanadai kwamba ushirika umeshindwa kuwasaidia kuondokana na changamoto zao za kila siku ikiwemo ukosefu wa masoko.

COP26 failed to live up to the expectations after two weeks of intensive negotiations.

Wafanyakazi wengi ambao kazi zao zimeharibiwa na janga la UVIKO-19 hawaoni juhudi za Serikali kupunguza makali yatokanayo na athari za ugonjwa huo hatari.

Anasema ni muhimu machinga na wenye maduka wakae mezani kujadili changamoto zao na kutafuta suluhu ambazo hazitamuumiza yoyote kati yao.

Tanzania’s tax system should be progressive enough to enable high-profit makers in the economy to pay more taxes than low-income earners and start-ups.

Wito huo unafuatia ripoti inayoonesha kwamba Tanzania kwa sasa haina mwongozo wowote unaoeleweka wa namna bora ya kugawa bajeti inayotengwa kwenye elimu ili ielekezwe kwa ajili ya elimu jumuishi.

Kina cha Bahari ya Hindi kimeongezeka na kufanya mashamba kutokufaa tena kwa kilimo kwa sababu ya chumvi, huku uvuvi nao ukidumaa kwa samaki kuwa adimu kitu kinachopelekea watu kuvihama vijiji vyao na kuhamia sehemu nyengine katika kujitafutia maisha.

Watanzania masikini hawana shida na bima ya afya bali mfumo imara wa taifa wa afya ya jamii ambao utasukumwa na utoaji huduma na sio utafutaji wa faida.

Critics accuse Tanzania Revenue Authority (TRA) of milking cows the government doesn’t feed.