The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Tag: headlines

Serikali Yatahadharisha Kuhusu Mlipuko wa Magonjwa ya Msimu wa Mvua

Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Afya Februari 25, 2026 kupitia kwa Mganda Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe imeonesha kuwa kumekuwa na ongezeko la wagonjwa wa mafua makali ya Influenza na UVIKO-19 nchini, hali Serikali imesema ni ya kila mwaka kuanzia kipindi cha Novemba hadi Aprili.

×