
Siku ya Pili ya Kesi ya Kikatiba ya Lissu Juu ya Haki ya Faragha na Mawakili: Ahoji Utaratibu wa Wafungwa Waliohukumiwa Kifo Kutumika Dhidi Yake
Katika dodoso na Mawakili wake Lissu amehoji juu ya utaratibu wa wafungwa waliohukumiwa kifo kutumika dhidi yake, huku akitaja nyaraka mbalimbali kutofikishwa kwake au kuzuiwa








