LHRC Yalaani Tukio La Kutekwa Mtoto Mwenye Ualbino Mkoani Kagera
Tukio hili linakuwa la pili kutokea ambapo tarehe 04 Mei, 2024, tukio kama hili lilitokea mkoani Geita mtoto mwenye ualbino aliyefahamika kwa jina la Kazungu Julius, mwenye umri wa miaka kumi, alivamiwa na watu wasiojulikana na kukatwa mapanga