The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Sensa 2022: Ndoa Zimeongezeka Kidunchu, Talaka, Kutengana Juu

Taarifa za sensa za mwaka 2022 zinaonesha ndoa zimeongezeka kutoka asilimia 51.1 ya watu wote wenye umri wa kuoa na kuolewa kwa takwimu za sensa mwaka 2012 mpaka asilimia 51.4 kwa sensa ya 2022.

subscribe to our newsletter!

Taarifa za sensa za mwaka 2022 zinaonesha ndoa zimeongezeka kutoka asilimia 51.1 ya watu wote wenye umri wa kuoa na kuolewa kwa takwimu za sensa mwaka 2012 mpaka asilimia 51.4 kwa sensa ya 2022.

Hata hivyo idadi ya watu kupeana talaka imeongezeka kutoka asilimia 2.9 mpaka asilimia 3.7 kwa sensa ya 2022. Huku pia idadi ya watu kutengana ikiongezeka kutoka asilimia 0.9 ya idadi ya watu mpaka asilimia 1.8.

Idadi ya wajane na wagane imeongezeka pia kutoka 3.1% kwa sensa ya 2012 mpaka asilimia 4.7. Wajane ni wengi zaidi ukilinganisha na wanaume waliofiwa na wake zao.

Journalism in its raw form.

The Chanzo is supported by readers like you.

Support The Chanzo and get access to our amazing features.
Digital Freedom and Innovation Day
The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on Saturday April 20, 2024 at Makumbusho ya Taifa.

Register to secure your spot

Did you enjoy this article? Consider supporting us

The Chanzo is supported by readers like you.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Posts

×