The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Dar es Salaam Kidedea Mikoa Iliyoongoza kwa Kuzalisha Ajira Rasmi Tanzania 2023/24

Mikoa iliyoongoza katika kuzalisha ajira mpya ni pamoja na Dar es Salaam, ikifuatiwa na Morogoro, Mwanza, Mbeya na Geita.

subscribe to our newsletter!

Taarifa ya utafiti wa ajira rasmi na mapato inaonesha mwaka 2023/24, kulikuwa na jumla ya ajira rasmi 4,073,887, ambapo ajira 2,853,566 zilitoka sekta binafsi na ajira 1,220,322, kutoka sekta ya umma.

Katika mwaka huo jumla ya ajira 364,787 zilizalishwa Tanzania ambapo ajira 155,792, zilikuwa ni mpya kabisa. Mikoa iliyoongoza kwa kuzalisha ajira rasmi Tanzania 2023/24. Jumla ya mishahara yote katika sekta rasmi ni Trilioni 37. Fuatilia zaidi katika kielelezo cha picha:

Journalism in its raw form.

The Chanzo is supported by readers like you.

Support The Chanzo and get access to our amazing features.
Digital Freedom and Innovation Day
The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on Saturday April 20, 2024 at Makumbusho ya Taifa.

Register to secure your spot

Did you enjoy this article? Consider supporting us

The Chanzo is supported by readers like you.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Posts

×