![](https://thechanzo.com/wp-content/uploads/2024/03/mwinyi23-640x427.jpg)
Nguvu ya Utashi wa Kisiasa Katika Kujenga Upya Jamii Zenye Migogoro Isiyokwisha: Masomo Kutoka kwa Utawala wa Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi
Tofauti na SUK ya 2010-2015 ambapo kambi mbili ndani ya Serikali, chama tawala na upinzani, zilifanya kazi kwa kuhofiana na kutoaminiana, SUK ya Mwinyi imekuwa tofauti kabisa.