
Kwa Nini Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar Imefeli?
Hizi hapa sababu nne za kwa nini SUK Zanzibar imefeli na kwa nini ni wakati wa kutafakari mbinu mbadala za ushiriki wa upinzani katika Serikali.

Hizi hapa sababu nne za kwa nini SUK Zanzibar imefeli na kwa nini ni wakati wa kutafakari mbinu mbadala za ushiriki wa upinzani katika Serikali.

Baadhi ya hayo ni kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara pamoja na suala la uwekezaji kwenye bandari ya Dar es Salaam.

He defends his government’s move to privatise some services in public hospitals, saying it’ll improve service delivery.

The archive will provide a window into history through the eyes of the decorated and longtime diplomat.

Wajasiriamali wamelalamikia kukosa mikopo hiyo licha ya kufuatisha masharti na kukidhi vigezo vyote, huku wengine wakipewa mikopo pungufu kulinganisha na kiwango walichoomba.

Waziri mwenye dhamana ya kazi amewataka vijana waliopitia kadhia hiyo wafike ofisini kwake ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa.

Hoja siyo kama mapato yameongezeka au kupungua. Hoja ni kama sheria na taratibu zimefuatwa au la.

Lipo kwa kuachiwa huru kwa Mbowe na uteuzi wa Faiza kama Mkurugenzi wa ZEC

ACT-Wazalendo wants Mwinyi to revoke the appointment immediately if he is really committed to building reconciliation in Zanzibar.

Mnyukano unaonekana ulikuwa mkali kwenye siasa za ndani ya Zanzibar tu, huku maoni ya wadau yakionekana kufanana linapokuja suala la Muungano.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved