Kwa Kamwe, Ali: Soka Sasa ni Biashara
Kilichopo kwa sasa ni kwamba mpira wa miguu unazidi kuwa biashara, na hivyo wadau wengi wanaingia kwa lengo la kushirikiana na klabu na taasisi zinazojihusisha moja kwa moja na mpira ili wafanye biashara.
Kilichopo kwa sasa ni kwamba mpira wa miguu unazidi kuwa biashara, na hivyo wadau wengi wanaingia kwa lengo la kushirikiana na klabu na taasisi zinazojihusisha moja kwa moja na mpira ili wafanye biashara.
Tunahitaji kuwa na maelezo ya kutosha ili hata kujitathmini iwe rahisi.
Hakuna sababu zilizotolewa na uongozi kuhusu kukosekana kwa rangi ya njano katika sare hizo mpya kwa ajili ya michuano ya kimataifa.
Labda kwa klabu chache kama Kagera Sugar na Mtibwa Sugar, lakini klabu nyingine ni nadra kukuta wachezaji wengi wanadumu kwenye klabu moja kwa muda mrefu.
Kama ilivyokuwa kwa Mbappe, Dube naye alianza kwa nguvu katika mechi za kufungua msimu, lakini akajikuta akipoteza makali yake siku hadi siku tangu Ligi Kuu ianze.
Arajiga’s right decision on Bacca should only wake us up and make us understand that much work remains to improve the quality of referees.
Waamuzi wameshapigwa sana na wachezaji na mashabiki kwa kukosea katika kazi yao, sasa waamuzi wenyewe wakianza kurudisha utamaduni huu ni dhahiri kuwa usalama wao uwanjani utakuwa hatarini.
Ukiangalia maamuzi mabovu yanayoendelea sasa hivi, huoni kama yanawakera Simba na Yanga, na kama ni jambo linalohitaji kukemewa na kuchukuliwa hatua sahihi.
Kabla, wakati na baada ya timu ya taifa ya soka kucheza mechi ya michuano ya awali ya kuwania tiketi ya kucheza fainali zijazo za Kombe
Sekretarieti ni nguzo na muhimili wa klabu za kisasa duniani na hivyo hazitakiwi ziyumbishwe kwa utashi wa mtu mmoja au genge.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved