The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Author: Angetile Osiah

Ziko Wapi Hamasa za CHAN 2025?

Ni muhimu kwa waliopewa dhamana ya kuandaa fainali za CHAN 2025 kujitokeza sasa na kuangalia jitihada gani zifanyike kujenga hamasa na kuuandaa umma ili fainali zitakapofika zikute taifa liko tayari.

Kwa Kamwe, Ali: Soka Sasa ni Biashara

Kilichopo kwa sasa ni kwamba mpira wa miguu unazidi kuwa biashara, na hivyo wadau wengi wanaingia kwa lengo la kushirikiana na klabu na taasisi zinazojihusisha moja kwa moja na mpira ili wafanye biashara.

Lini Tutamsikia Toni Kroos wa Tanzania?

Labda kwa klabu chache kama Kagera Sugar na Mtibwa Sugar, lakini klabu nyingine ni nadra kukuta wachezaji wengi wanadumu kwenye klabu moja kwa muda mrefu.

Prince Dube Anapitia Ugumu wa Mbappe

Kama ilivyokuwa kwa Mbappe, Dube naye alianza kwa nguvu katika mechi za kufungua msimu, lakini akajikuta akipoteza makali yake siku hadi siku tangu Ligi Kuu ianze.

×