Wadau wanasema mazingira ya sokoni ni hatari kwa afya na ustawi wa mtoto.
Wadau wanasema mazingira ya sokoni ni hatari kwa afya na ustawi wa mtoto.
Ni raia wa Trinidad na Tobago aliyekuja Tanzania miaka ya 1980 anayemuomba Rais Samia aingilie kati.
Anasema huduma zitakuwa bora kwani watu wengi watakuwa wanachangia kwenye huduma hiyo.
Deni la taifa limegeuka kaa la moto, likiwaunguza watu mbalimbali wanaojaribu kutahadharisha juu ya athari zake.
Hadhi yake ya kuwa chama tawala nchini Tanzania kunawafanya Watanzania wafuatilie kila nyendo ya CCM.
Ni suala linalowaumiza vichwa viongozi waandamizi wa Serikali na jamii kwa ujumla.
It wants the report of the investigation released to the public so that people can make their own reading.
Asema athari za nishati hizo kiafya ni kubwa na Watanzania walio wengi hawamudi gharama zake za matibabu
Its impacts on both the environment and people’s health concern experts and policymakers.