Ni muhimu sana kwa wasanii kuhakikisha mnajidhatiti kwa kuwa na uwakilishi madhubuti wa kisheria katika usimamizi wa masuala yenu ya sanaa.
Ni muhimu sana kwa wasanii kuhakikisha mnajidhatiti kwa kuwa na uwakilishi madhubuti wa kisheria katika usimamizi wa masuala yenu ya sanaa.
The oppressed people of Western Sahara need our support now more than ever as Morocco continues to ignore their calls for self-determination.
Watu wa imani ya Rastafarai kunyolewa nywele zao kwa nguvu na pasipo ridhaa yao, kabla hata ya kukutwa na hatia, ni jambo la kikatili na la kinyanyasaji linalopaswa kulaaniwa na kukemewa.
Wananchi wa Kilosa wanakabiliwa na njaa kali. Njaa yao ni ya ardhi, hususani haki yao katika ardhi. Tunawezaje kudumisha amani katika mazingira kama haya?
Tanzania needs to treasure one of the greatest heritages Nyerere left the country with: the astonishing and outstanding state of literacy
Or else you’ll be calmed.
Masharti na urasimu wanaowekewa wasanii wa Tanzania na BASATA si tu ni hatari na kizingiti katika biashara, bali ni adui mkubwa wa haki ya ubunifu na uhuru wa kazi.
If it was ever thought that all the misgivings directed to her side would derail her agenda for justice, then Fatma Karume surely proved her doubters and bad wishers miserably wrong.