Je, anayeondoka ni kweli ametaka kuondoka au kwa sababu kuna vikwazo vikubwa ambavyo vimewekwa ambavyo mwisho wa siku vinaweza kumfanya yeye na familia yake kuona kwamba njia pekee iliyobaki ni kuondoka?
Je, anayeondoka ni kweli ametaka kuondoka au kwa sababu kuna vikwazo vikubwa ambavyo vimewekwa ambavyo mwisho wa siku vinaweza kumfanya yeye na familia yake kuona kwamba njia pekee iliyobaki ni kuondoka?
Tunajivunia kwamba Ngorongoro ni urithi wa dunia lakini hiyo haiondoshi ukweli kwamba kwenye hilo eneo kuna wenyeji wake.
Serikali inaweza kunufaika zaidi endapo kama itawaweka wenyeji karibu badala ya kuwaacha warubuniwe na wanasiasa na wanaharakati.