Zanzibar Hosts Critical Tuna Talks for the Indian Ocean
The central agenda is to negotiate fair and sustainable criteria for allocating tuna fishing quotas vital to food security, livelihoods, and economic development across the region.
The central agenda is to negotiate fair and sustainable criteria for allocating tuna fishing quotas vital to food security, livelihoods, and economic development across the region.

Katika kikao cha kusikilizwa kwa shtaka hilo, watuhumiwa wote walikana mashitaka dhidi yao.

Hii ni wizara mama ambayo Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imekuwa ikijinasibu nayo kuwa ina fursa nyingi watakazozitumia kuwanufaisha Wazanzibari.

Pamoja na bajeti hii kuainisha mipango yenye tija bado ya uhaba wa walimu, kiwango kidogo cha fedha za bajeti kinachotolewa na urejeshaji hafifu wa mikopo vitaendelea kukwamisha upatikanaji wa elimu bora.

“ACT Wazalendo tunalaani hatua hiyo ya Jeshi la Polisi kumkamata kiongozi wetu na tunawataka wamuachie mara moja bila masharti yoyote,”

Wanasheria wanaeleza kuwa Kanuni haziwezi kuondoa haki inayotolewa na Katiba

ZEC imeeleza kuwa punguzo hilo linakusudia kuongeza ushiriki wa wanawake katika siasa na kupunguza vikwazo vya kifedha vinavyowakwamisha wengi wao.

The residents have voiced concerns over the plan, fearing the loss of their income sources, especially fishing, which is their main livelihood.

Ukosefu wa miundombinu, vifaa maalum na walimu wenye ujuzi ni miongoni mwa sababu zinazopelekea wakumbwe na hali hiyo.

Wadau waonya kuwa mikoko iko katika hatari ya kupotea ikiwa hatua za dharura hazitachukuliwa
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved