Siti Amina of Siti & The Band: The Making of An Icon
She started singing professionally in 2012, and that’s when she picked the name Siti Amina as her stage name.
She started singing professionally in 2012, and that’s when she picked the name Siti Amina as her stage name.

Mtaalamu abainisha hatua Serikali inapaswa kuchukua kuufanya mwani kuwa na tija zaidi kwa wakulima na nchi kwa ujumla.

Pamoja na mitandao kuonekana kuwa ni fursa lakini bado kuna changamoto kwa Watanzania kuwa tayari kulipia kununua maudhui

They seek to disrupt a secretive criminal ring that lures runaway boys under the age of eighteen and forces them into prostitution.

Zabuni kadhaa, zikiwemo za kuendesha bandari na viwanja vya ndege, zimetolewa kinyume na sheria ya manunuzi ya umma ya Zanzibar.

Kijana huyo anadaiwa kupigwa na maafisa wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya hadi kupoteza maisha.

Women are unfairly represented in political and democratic leadership in Zanzibar, representing only 38 per cent of the House of Representatives.

Ni wanafunzi wapatao 55 wa Kituo cha Tucheze, Tujifunze cha Fukuchani, Unguja, ambao wanadaiwa kusomea chini ya miti kwa miaka 13.

Wanawake wanaamini kwamba umiliki wa ardhi kisheria utawasaidia katika jitihada zao za kukabiliana na ukatili wa kijinsia unaotajwa kutamalaki visiwani humo.

Changamoto ya uhaba wa vyumba vya madarasa imelalamikiwa na walimu na wanafunzi kuathiri ufundishaji na ujifunzaji Zanzibar.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved