
Usikubali 2024 Ipite Bila Kuzisoma Habari Hizi Tulizofanya Hapa The Chanzo
Tunakushukuru sana kwa kutuchagua sisi kuwa chanzo chako kikuu cha habari. Tunaomba ufahamu kwamba, kamwe, hatuchukulii poa uamuzi wako huo!

Tunakushukuru sana kwa kutuchagua sisi kuwa chanzo chako kikuu cha habari. Tunaomba ufahamu kwamba, kamwe, hatuchukulii poa uamuzi wako huo!

Serikali inasema inafanya kila linalowezekana kurekebisha hali hiyo, lakini inakiri kwamba bila ushiriki wa jamii na familia, juhudi hizo zinaweza kushindwa kufanikisha malengo yake.

Waathirika hawatoi taarifa polisi kwa sababu ya aibu,mila na Imani za kidini

Most revenge porn victims have contemplated suicide

Mtazamo kwamba wachezaji soka la wanawake ni wahuni unazuia wengi kuingia kwenye mchezo huo, hali inayowafanya wadau wa soka kutokuupa mchezo huo kipaumbele.

The government says the pause is just temporary and President Mwinyi will soon resume his tradition of briefing journalists every month-end.

Wanawake wanalalamika kushindwa kueleza masaibu yao mbele ya waamuzi wanaume, wakitaka uwepo wa wanawake kulinda haki zao.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aahidi kuchukua hatua hiyo baada ya kupewa taarifa kuhusu kadhia hiyo inayosumbua maelfu ya wananchi Kaliua.

Mpango mkakati huo umelenga kuwawezesha vijana kuanzisha biashara na kuzisimamia huku wakijua hatua sahihi za kuendeleza biashara pamoja na kupata fedha kupitia taasisi za kiserikali na za binafsi.

Watu wengi Zanzibar bado wanahusisha suala la wanawake kuongoza watalii na uhuni huku wengine wakisema wanafanya kazi hiyo kujiuza kwa wazungu
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved