
Wanawake Wawili Wauwawa Kikatili Zanzibar. Familia, Wanaharakati Wataka Uwajibikaji
Ni Khairat Juma Bakari na Laura Msemwa, wanawake wawili waliouwawa kikatili Zanzibar, kwenye matukio mawili tofauti.

Ni Khairat Juma Bakari na Laura Msemwa, wanawake wawili waliouwawa kikatili Zanzibar, kwenye matukio mawili tofauti.

Miundombinu na mipango miji isiyo rafiki yatajwa kukwamisha uokozi wa haraka pindi majanga ya moto yanapotokea.

Wanawake wanaonywa kwamba kufanya hivyo kunawaweka kwenye hatari kubwa ya kupata magonjwa sugu, ikiwemo saratani.

Wajasiriamali wamelalamikia kukosa mikopo hiyo licha ya kufuatisha masharti na kukidhi vigezo vyote, huku wengine wakipewa mikopo pungufu kulinganisha na kiwango walichoomba.

Wazazi wenye watoto walemavu ambao ni waathirika wa udhalilishaji wanadhani hali za watoto wao zinawafanya wakose haki.

Waziri mwenye dhamana ya kazi amewataka vijana waliopitia kadhia hiyo wafike ofisini kwake ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa.

While laws allow for electronic evidence to be used in sexual assault investigations, police say there are currently no guidelines.

While CCM members describe changes brought about by the GNU as “fundamental,” their ACT-Wazalendo counterparts feel they’re yet to benefit from it.

Waziri wa Habari asema muswada tayari upo katika ngazi ya Makatibu Wakuu.

It entertains, yes, but it also kills.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved