Tozo, Pembejeo Zinavyowatesa Wakulima wa Korosho Mtwara
Kutokana na wakulima wengi kushindwa kumudu manunuzi ya pembejeo za kuweza kukidhi mahitaji yao, wengi wao walilazimika kupuliza mashamba yao kwa awamu chache kinyume na wanavyoshauriwa na wataalam wa kilimo.