Ukosefu wa Vituo vya Upataji Nafuu Waacha Waraibu wa Dawa za Kulevya Njia Panda Mtwara
Wataka wafikishiwe huduma za nyumba za upataji nafuu na vituo vya methadone.
Wataka wafikishiwe huduma za nyumba za upataji nafuu na vituo vya methadone.
Ni wananchi takriban 12,000 kutoka kata ya Mahurunga ambao wameachwa bila chakula baada ya mafuriko kuharibu takriban ekari 2,776 za mashamba yaliyokuwa yamepandwa mazao mbalimbali.
Waliwekeza Shilingi milioni nane kwenye kampuni hiyo ambazo mpaka sasa hawajuwi watazirudishaje.
Wataalamu wameshauri wakulima kulima mazao yanayohimili ukame ili kukabiliana na baa la njaa.
Mwaka 2022/2023, Serikali ilitoa pembejeo za viuatilifu vya unga tani 15,000 na viuatilifu vya maji lita 2,600,000 kwa wakulima wa korosho nchi nzima.
Serikali yasema inalitambua tatizo na tayari iko mbioni kulitatua.
Yumo Rais Samia Suluhu Hassan aliyetunukiwa shahada ya udaktari wa heshima kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Uzalishaji wa korosho umetajwa kushuka ukilinganisha na misimu iliyopita hali ambayo wataalamu wameihusisha na athari za mabadiliko ya tabianchi.
Wakati tatizo la upatikanaji wa taarifa ni kubwa sana nchini Tanzania, tatizo hilo ni kubwa zaidi kwa waandishi wa habari wa vyombo vya habari vya mitandaoni ambao kutokana na kasumba inayozikumba baadhi ya taasisi hawaonekani kama ni waandishi wa habari.
Viongozi hao wa dini walioorodhesha sababu hizo wakati wa kikao cha mtandaoni kilichoitishwa na Umoja wa Wapigania Haki za Binadamu Wanawake Tanzania (CWHRDs) mnmo Februari 11, 2022, ikiwa ni kama juhudi za wadau kuendeleza mjadala kuhusiana na janga hilo linaloendelea kuumiza vichwa vya wadau mbalimbali.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved