The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Category: Justice

Watendaji Wasio Waadilifu Watajwa Kuchochea Migogoro ya Ardhi Zanzibar

Ingawaje Rais Mwinyi ameahidi kuunda tume kushughulikia kesi za migogoro ya ardhi visiwani humo, Wazanzibari ambao wamekuwa wakihangaika na kesi hizo miaka nenda rudi hawana imani kama tume hiyo itakuwa na msaada kama itaundwa na watendaji wale wale ambao uadilifu wao ni wa kutiliwa mashaka.