Mahakama Uingereza Kusikiliza Kesi ya Raia 10 wa Kitanzania Dhidi ya Barrick
Kesi hiyo ilifikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza mnamo Februari 2020 na Watanzania saba ambapo watatu wengine walijiunga kwenye kesi hiyo dhidi ya Barrick mnamo August 2020.