Jinsi Uchaguzi Mkuu 2020 Ulivyoacha Simulizi za Majonzi Tarime
Ni simulizi za kupotea kwa vijana wa CHADEMA Damas Wilson na Richard ambao waliripotiwa kutoweka kwenye mazingira ya kutatanisha mnamo Oktoba 26, 2020 na kutokupatikana mpaka sasa.
Ni simulizi za kupotea kwa vijana wa CHADEMA Damas Wilson na Richard ambao waliripotiwa kutoweka kwenye mazingira ya kutatanisha mnamo Oktoba 26, 2020 na kutokupatikana mpaka sasa.
The Chanzo inazungumza na mwanaharakati Tito Magoti kupata mtazamo wake wa haki za binadamu chini ya utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan na mapendekezo yake ya namna ya kuboresha mfumo wa haki jinai nchini Tanzania.
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) inalenga kuipanua hifadhi hiyo kwa ajili ya kutenga eneo maalum ambalo wanyama mbalimbali watawekwa na hivyo kukifanya Kimondo cha Mbozi kuwa eneo la utalii kwa mkoa wa Songwe.
Eneo hilo lenye ukubwa wa hekari 28 liliuzwa na mmoja ya wakulima waliokuwa wakilima hapo kwa mtu mmoja ambaye mpaka sasa utambulisho wake haujajulikana hali iliyowaacha watendaji wa Serikali ya kijiji kurushiana lawama.
Freeman Mbowe and co-accused court proceedings as they happen October 29, 2021
Freeman Mbowe and co-accused court proceedings as they happen October 27, 2021
Serikali na Mahakama zabainisha madai ya bibi huyo dhidi ya mtoto wake hayana ukweli wowote.
Fwema becomes the first cartoonist to face prosecution for his works in a post-independent Tanzania.
Taarifa ya hivi karibuni inayohusu kuuawa kwa mtoto mwenye ualbino ni habari mbaya na mpya kuanza kusikika tena masikioni mwa jamii ya watu wenye ualbino yenye kujenga hofu na kutia wasiwasi.
Ujinga wa kutofahamu mienendo na hekima za wafugaji wa asili ndio chanzo kikuu cha mivutano na sera zinazoambatana na ubaguzi, vitu vinavyoshuhudiwa kwa sasa katika jamii za wafugaji Tanzania, ikiwemo Ngorongoro.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved