Tuwape Geita Gold Mining Jina la Mnyama, Wao Watupe Gawio la Faida
Ikiwa makampuni mengine ya madini yameingia ubia na Serikali kuunda kampuni za pamoja, na hivyo kuiwezesha Serikali kupata gawio, kwa nini isiwe GGML?
Ikiwa makampuni mengine ya madini yameingia ubia na Serikali kuunda kampuni za pamoja, na hivyo kuiwezesha Serikali kupata gawio, kwa nini isiwe GGML?
The choice of ‘human dignity’ as a reference framework underscores its foundational and all-encompassing usage under international human rights law, including equality and non-discrimination.
Mwandishi anatupeleka kwenye ulimwengu uishio katika fikra tu, japokuwa ukianza kusoma habari za nchi hiyo unaanza kujiuliza kama kweli huko ni Sadiki au ni mahali fulani ambapo umeshawahi kufika.
The choice of ‘human dignity’ as a reference framework underscores its foundational and all-encompassing usage under international human rights law, including equality and non-discrimination.
Kama jamii tunawajibu wa kuwajibika na kuhakikisha mwanamke anajivunia kuwa mwanamke. Kama ambavyo wanawake wametutunza na kuzitunza familia zetu, nasi kama jamii tunajukumu adhimu la kuwatunza.
By endorsing and ratifying the Maputo Protocol, Tanzania has moved beyond debating its people’s values and norms. Now, it’s time to act.
Mwamko wa kuwashughulikia watumiaji wa mitandao ya kijamii wanaoingia katika mgogoro na Serikali hauamaanishi nia ya kutokomeza uhalifu; ni kwamba ‘wakubwa’ tu hawajafurahia kushikwa sharubu.
Pengine kuna umuhimu wa kuweka mabango kwenye kila eneo ambalo wananchi wanajitoa ili taarifa hizo zikae kwa uwazi, na kuchochea uwajibikaji.
Namna mifumo ya kimahakama ilivyomfanyia Limi Limbu, mlemavu wa akili anayesota gerezani kwa miaka 11 sasa, ni kielelezo tosha cha namna mifumo yetu ya upatikanaji haki isivyojali utu wa binadamu na upatikanaji wa haki kwa ujumla.
The Ngorongoro conservation area is the only place in Tanzania where its residents have to be inspected to get to their homes from wherever they go. It’s as if NCA is a country within a country.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved