
‘Chujio Lilikuwa na Tundu Nyembamba, Mpana Mimi Sikuweza Kupenya’
Hii ni kauli ya huzuni, lakini pia ya hekima. Inaakisi ukweli kwamba mchujo ndani ya CCM si wa kawaida.

Hii ni kauli ya huzuni, lakini pia ya hekima. Inaakisi ukweli kwamba mchujo ndani ya CCM si wa kawaida.

Speaking on behalf of CHADEMA, the party’s Director of Training and Organization, John Pambalu, stated that the number of registered voters released by INEC exceeds the number of people aged 14 and above reported in the 2022 census.

The group, which declared their intention to contest parliamentary and special seats in the 2025 general elections under the CCM banner, will now proceed to the next stage of the party’s nomination process — the internal primaries.

Some of the high-profile names dropped were considered to have stronger political influence in their constituencies compared to those who advanced to the primaries.

Wabunge zaidi ya 40 ambao wako Bungeni kwa sasa hawataonekana katika kura za maoni ya chama hicho, baadhi ya majina yaliyokumbwa na panga hilo yameendelea kuzua gumzo kubwa mitandaoni.

Katibu wa Halmashauri Kuu Taifa(NEC) ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla ametoa orodha ya majina ya wana CCM waliopita kwenye mchujo wa Kamati Kuu kwa ajili ya kwenda kupigiwa kura za maoni majimboni kwenye mchakato wa uteuzi wa wagombea ubunge na uwakilishhi wa chama hiko kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Akitangaza majina ya wanachama wa CCM waliopita katika chujio la Kamati Kuu, Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla amewataja wananchama wa CCM 11 waliotoka kundi la wabunge 19 waliopita kwenye mchujo wa ubunge wa majimbo na wawili wamepita kwenye mchujo wa ubunge wa viti maalum ngazi ya mkoa.

In our briefing today: Police Arrest 11 CHADEMA Members at the Home of Nkasi Kaskazini MP for Unlawful Assembly; Call for MP and Husband to Report to the Police;
CCM’s Big Reveal of Nominees for Party Primaries Set for Today, July 29, 2025 ;
Foreign Currency Deposits Maintain USD 5 Billion Mark as BOT Shows Optimism Over Easing Dollarization

The increase comes as the latest monetary policy statement from the Bank of Tanzania (BoT) expressed optimism about a gradual easing of the economy’s dollarization.

This year’s selection has been different, especially following the postponement of the nomination meeting date, and then a special congress to amend the constitution.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved