The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Category: Politics

Nini Kimesababisha Mgogoro wa Urusi na Ukraine?

Wengi wanaamini mlango wa mazungumzo unaweza ukafunguka tena. Hatua ya hivi karibuni ya nchi za ulaya na marekani kuzuia benki za Urusi kutumia mfumo wa kibenki wa swifti pamoja na NATO kuongeza majeshi karibu na mipaka ya Urusi inaweka shinikizo zaidi kwa Urusi kurudi kwenye mazungumzo.

Wabunge Wataka Sheria, Kanuni Kandamizi za Uandishi wa Habari Kurekebishwa

Watunga sheria hao walitoa wito huo wakati wakiongea na The Chanzo pembezoni mwa mafunzo yaliyoandaliwa na Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (Misa-Tan) yaliyofanyika mnamo Februari 12, 2022, yaliyolenga kuwafahamisha wawakilishi hao wa wananchi kwenye vifungu vya sheria na kanuni vinavyominya uhuru wa vyombo vya habari nchini.

Wanasiasa, Wanaharakati Wataka Masheha Wapigiwe Kura Zanzibar

Kumekuwapo na tuhuma kwamba katika utekelezaji wa majukumu yao Masheha wamekuwa wakikipendelea chama cha CCM na wakila njama za kuvidumaza vyama vya upinzani. Tuhuma hizi huibuka zaidi wakati wa michakato ya chaguzi kuu kuanzia utoaji wa kadi za Mzanzibari Mkaazi na usajili wa daftari la wapiga kura.

How Turkey is Building its Influence in Tanzania

Rising Turkey’s influence and also interest in Tanzania means aside from Europe, US and China, there is an emerging player that Tanzania can also benefit from in terms of investments, finances, technology, and access to the market. But all of this depends on our ability to negotiate and learn to see opportunities.

Expulsion at 50: Lessons from Uganda

For Africans to see Indians – or other non-native communities – as compatriots, they have to position themselves differently. There is a need for increasing cultural, social, business, and if possible religious intercourses.

At 45, CCM Needs Plan B

Tanzania’s ruling party can prepare its plan B through the New Constitution or through patching up the current one.