
IMF: Wafanyakazi 50,000 Kwenye Sekta ya Afya Tanzania Kuathiriwa na Kufungwa kwa USAID
Ripoti hiyo inaeleza wafanyakazi 20,000 waliokuwa wakifadhiliwa na USAID na wafanyakazi 30,000 waliokuwa wakipokea malipo ya ziada wataathirika na suala hilo

Ripoti hiyo inaeleza wafanyakazi 20,000 waliokuwa wakifadhiliwa na USAID na wafanyakazi 30,000 waliokuwa wakipokea malipo ya ziada wataathirika na suala hilo

Foreign Direct Investment (FDI) in Tanzania increased to USD 1.7 billion, the highest level recorded since 2014. This is according to the 2025 World Investment

Gwajima argued that minimum reforms can be done in the period where parliament is still legally alive
When the opposition becomes consumed by infighting, it risks alienating the very people it claims to fight for.

Katika maamuzi yake Mahakama ilieleza kuwa waleta maombi hawajaweza kuishawishi Mahakama kuwa wana msalahi ya kutosha katika kanuni hizo, Mahakama ikieleza kuwa waleta maombi ni majirani tu na sio wenye haki ya kushitaki dhidi ya kanuni.

Mawakili hao wanaeleza tayari wameshafanya mchakato wa kurudisha shauri hilo na wanategemea litapangiwa siku ya kusikilizwa.

The recurring incidents have sparked debate on social media about the constitutionality of restricting the movement of CHADEMA officials.

“ Kwa utaratibu wetu na mchakato ndani ya Chama cha Mapinduzi mpaka sasa hakuna mtu aliyeenguliwa au kukatwa kama ambavyo inaripotiwa katika vyombo vya habari,”

CHADEMA wameeleza kuwa viongozi hao wawili walikuwa kwenye safari za kuhudhuria vikao pamoja na mafunzo nje ya nchi baada ya chama hiko kupewa mwaliko.

He says he can no longer be part of an administration that “lacks motivation and adherence to the principles of the country’s constitution and the party, justice, morals, humanity, and accountability to the citizens.”