
Kutoka Ukatibu Mkuu Kiongozi Mpaka Ubunge wa Kuteuliwa: Je, Ni Kupanda na Kushuka kwa Dk Bashiru Ally?
Wengi wanadhani ni hivyo, lakini siyo wote.
Wengi wanadhani ni hivyo, lakini siyo wote.
Uzoefu wake kwenye masuala ya kiserikali na uthubutu wake wa kusema na kufanya anachokiamini bila woga unamfanya Othman Masoud kuwa chaguo sahihi kwa nafasi ya Makamu wa Kwanza wa Raisi wa Zanzibar.
Kwamba ACT-Wazalendo wameamua kufuata ushauri wa hayati Maalim Seif Sharif Hamad wa nani awe mrithi wake kwa nafasi ya Makamo wa Kwanza wa Rais inaonesha ni kwa kiasi gani kiongozi huyo alikuwa na ushawishi usiokifani kuweza kuamua mambo kutokea kaburini.
The giant of Zanzibar politics died at the Muhimbili National Hospital where he was undergoing treatment.
The Government of National Unity alone is not the change we seek. It is only the chance to make that change happens.
Watanzania masikini hawana shida na bima ya afya bali mfumo imara wa taifa wa afya ya jamii ambao utasukumwa na utoaji huduma na sio utafutaji wa faida.
Tofauti na Ethiopia ya Abiy, Zanzibar ni sehemu ya Tanzania. Ni kiasi gani Mwinyi ‘ataruhusiwa’ kuwashughulikia wahafidhina wa tabaka la watawala wa Zanzibar bila kuingiliwa na mamlaka za Jamhuri ya Muungano?
Jioni ya Disemba 5, 2020, Katibu Mkuu Kiongozi aliujulisha umma wa Watanzania juu ya uteuzi uliofanywa na Raisi John Magufuli katika kukamilisha safu yake ya
Kati ya kujikanganya katika misimamo na kupoteza baadhi ya wanachama wake shupavu, CHADEMA imechagua la pili kujitanzua na hali iliyotishia kukipasua chama hicho cha upinzani
Suluhisho sio kujiunga ama kutojiunga kwa ACT-Wazalendo katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Suluhisho ni kufanyika kwa mjadala wa kina kuhusu tuhuma za kasoro za kimfumo zinazoibuka kila wakati wa uchaguzi na kuzifanyia kazi.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved