
Mwinyi Says Public Procurement System Delays Provision of Essential Health Services
He defends his government’s move to privatise some services in public hospitals, saying it’ll improve service delivery.
He defends his government’s move to privatise some services in public hospitals, saying it’ll improve service delivery.
The archive will provide a window into history through the eyes of the decorated and longtime diplomat.
Wajasiriamali wamelalamikia kukosa mikopo hiyo licha ya kufuatisha masharti na kukidhi vigezo vyote, huku wengine wakipewa mikopo pungufu kulinganisha na kiwango walichoomba.
Waziri mwenye dhamana ya kazi amewataka vijana waliopitia kadhia hiyo wafike ofisini kwake ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa.
Hoja siyo kama mapato yameongezeka au kupungua. Hoja ni kama sheria na taratibu zimefuatwa au la.
Lipo kwa kuachiwa huru kwa Mbowe na uteuzi wa Faiza kama Mkurugenzi wa ZEC
ACT-Wazalendo wants Mwinyi to revoke the appointment immediately if he is really committed to building reconciliation in Zanzibar.
Mnyukano unaonekana ulikuwa mkali kwenye siasa za ndani ya Zanzibar tu, huku maoni ya wadau yakionekana kufanana linapokuja suala la Muungano.
Yafuatia madai ya ACT-Wazalendo kwamba zoezi hilo limegubikwa na “kukosekana uwazi, maamuzi ya ubabaishaji na kukosekana uadilifu.”
Ni wajibu wa walio kwenye mamlaka kutoa majibu na kuwajibika kwa wananchi.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved