
Authorities in Zanzibar Investigate Alleged Abduction, Torture of Mwinyi’s Critic
The veteran CCM cadre Baraka Mohamed Shamte has been stripped of his party membership for “slandering in public” the president of Zanzibar.
The veteran CCM cadre Baraka Mohamed Shamte has been stripped of his party membership for “slandering in public” the president of Zanzibar.
Ubunifu unahitajika sana katika ufundishaji wa watoto hawa ili kuwawezesha watamani kubaki madarasani badala ya kurudi mitaani.
Hofu ilitoa mchango mkubwa sana katika kufanikissha tukio hilo kubwa katika historia ya Tanzania.
It is followed by the duration or length of proceedings/cases in courts of law; low awareness of laws among citizens; and legal representation costs.
Ismail Jussa, mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT-Wazalendo, anatolea ufafanuzi wa suala hili na mengineyo mengi kwenye sehemu hii ya kwanza ya mahojiano maalum kati yake na The Chanzo.
Ni ujenzi wa msingi wa kupitishia maji katika eneo la Mfenesini, kisiwani Unguja, ili kuondoa kero kwa wananchi wa eneo hilo ambao makazi yao huathirika kila ifikapo kipindi cha mvua za masika.
Ofisi hiyo inahusisha vitendo hivyo na ushawishi wa shetani na watu kukosa hofu ya Mungu.
Hatua hizi zinazoendelea kuchukuliwa kuboresha sekta ya elimu Zanzibar hazitazaa matunda endapo kama wale wanaopewa dhamana hawatachukua jitihada za makusudi katika kurekebisha vikwazo vilivyopo ili changamoto za sekta ya elimu kutatuliwa ipasavyo.
Mfumo huo wa utoaji stakabadhi umeanza utekelezaji kwenye mwaka unaendelea wa fedha wa 2021/2022 hapo Julai 1, 2021, na kuja kupata umaarufu zaid mwanzoni mwa mwezi Februari 2022 baada ya mamlaka husika kuanza ufuatiliaji wa kuhakikisha wafanyabiashara wanatumia mfumo huo.
Serikali visiwani humo inapanga mikakati ya kuwawezesha wakulima kupanda mwani kwenye maji ya kina kirefu ili kukwepa athari zitokanazo na mabadiliko ya tabia ya nchi yanayoripotiwa kudumaza mwani unaolimwa kwenye maji madogo.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved