
Zanzibar Commits to Support Ukrainians Stuck in the Archipelago
The archipelago’s president says that already hoteliers serve Ukrainians without charging them with the government planning to consider the hoteliers in tax calculations and payment.
The archipelago’s president says that already hoteliers serve Ukrainians without charging them with the government planning to consider the hoteliers in tax calculations and payment.
Kumekuwapo na tuhuma kwamba katika utekelezaji wa majukumu yao Masheha wamekuwa wakikipendelea chama cha CCM na wakila njama za kuvidumaza vyama vya upinzani. Tuhuma hizi huibuka zaidi wakati wa michakato ya chaguzi kuu kuanzia utoaji wa kadi za Mzanzibari Mkaazi na usajili wa daftari la wapiga kura.
Ni kitabu cha Biubwa Amour Zahor: Mwanamke Mwanamapinduzi, kilichozinduliwa Novemba 6, 2021.
The foundation seeks to preserve the statesman’s contribution towards reconciliatory politics in Tanzania.
Ni kitendawili cha kuamua yupi ni mjasiriamali mdogo na yupi sio.
Mustafa Abubakar alizaliwa Muislam kabla ya kubadili dini na kuwa Mkristo lakini bila ya kubadilisha jina alilopewa na baba yake.
Wananchi wadai hatua ya Serikali kutowafikisha kwenye vyombo vya sheria watu wanaoshukiwa kufanya vitendo hivi inapelekea kushamiri kwake.
From lay-offs to dwindling government revenues Zanzibar, has seen the worst of COVID-19.
Wafanyakazi wengi ambao kazi zao zimeharibiwa na janga la UVIKO-19 hawaoni juhudi za Serikali kupunguza makali yatokanayo na athari za ugonjwa huo hatari.
Mjumbe huyo wa Kamati Kuu ya ACT-Wazalendo anaieleza The Chanzo kwenye mahojiano maalumu kwamba hajutii chama chake kujiunga na Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar kwani maridhiano yanahitajika kujenga taifa katika misingi ya umoja na maendeleo endelevu.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved