
Kwenye Hili la ACT Wazalendo na Dola la CCM, Mimi Nasimama na Asiye na Nguvu
Haitusaidii wananchi kuchukua hatua zinazoweza kuwaongezea nguvu wakandamizaji wetu pale nguvu hizo zinapotumika dhidi ya watu wa tabaka letu.

Haitusaidii wananchi kuchukua hatua zinazoweza kuwaongezea nguvu wakandamizaji wetu pale nguvu hizo zinapotumika dhidi ya watu wa tabaka letu.

In our briefing today:
President Samia Unveils Vision 2050, Urges Focus on Implementation;
Mbowe Soft-Launches Political Comeback Amid Speculation of Upcoming Political Moves;
Lawyers of the Petitioners in Civil Suit Say They Have Received Clarification For ‘Total Shutdown’ of Tanzania’s Main Opposition Party, CHADEMA, Pending Court Decision
Development Partners Rally Behind Tanzania’s Bold ‘Dira 2050’.

She warned that such ambitions would not be met without changing the way things work and evaluate performance.

Katika miaka ya hivi karibuni, dhana ya kuabudu viongozi kupita kiasi imezidi sana Tanzania, ikichagizwa na mambo kadhaa. Hali hii ina athari nyingi kwa mustakabali wa taifa letu.

Zoezi hili la uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania uteuzi linahusu nafasi Ubunge wa Jimbo, Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi, Ubunge wa Viti Maalum, Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi Viti Maalum, Udiwani wa Kata au Wadi na Udiwani wa Viti Maalum.

Kama tumedhamiria kuleta maendeleo kwetu sisi na kwa kizazi kiijacho, hatuna budi kufanya mabadiliko makubwa sana katika Katiba yetu, sheria zetu na taasisi zetu ili ziweze kutuondoa katika hali duni tuliyonayo ukilinganisha na mataifa yaliyoendelea.

Bajeti ya taifa ni ya kiraia, sio ya wataalamu au Wabunge pekee. Inahusu afya yetu, elimu ya watoto wetu, ajira za vijana wetu, hifadhi ya jamii, na ndoto zetu.

CCM inaingia katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 ikiwa na silaha tatu kuu: rekodi ya utekelezaji wa Ilani ya 2020–2025, dira ya maendeleo kupitia Ilani ya 2025–2030, na msingi mpana wa wanachama kote nchini.

Moja ya changamoto inayoeleza kuwakabili wanachama hao walioondoka CHADEMA ni ushawishi hafifu huku wengi wakiwaeleza kama watekelezaji wa mkakati unaoratibiwa na wengine

Nikiri kuwa ni kitabu kizuri kuanzia muundo na maudhui yake; mwandishi, kama mshauri-elekezi mzoefu katika suala zima la uchumi na sera zake, amekitendea haki na itifaki.