
Eid Al Fitr Ikawe Chachu ya Kukoleza Mapambano Yetu Dhidi ya Aina Zote za Ukatili
Eid Al Fitr itutafakarishe kuhusu mustakabali wa jamii zetu, ikiwemo kujiuliza endapo kama tunatoa mchango wetu ipasavyo kuzifanya kuwa bora zaidi kuliko zilivyo sasa.

Eid Al Fitr itutafakarishe kuhusu mustakabali wa jamii zetu, ikiwemo kujiuliza endapo kama tunatoa mchango wetu ipasavyo kuzifanya kuwa bora zaidi kuliko zilivyo sasa.

Kama lengo la tuzo hizi ni kukuza uandishi bunifu na usomaji nchini, basi ni muhimu sana kuwa na mpango mkakati usiopishana njia na malengo hayo. Kwa sasa, mpango mkakati umeshindwa kulenga shabaha hiyo.

Shime kwenu wazazi popote mlipo, wajengeeni watoto ari ya kuandika barua; itawasaidia kuboresha ujuzi wa uandishi na umahiri katika uchaguzi na mpangilio wa maneno.

Watu wasio na uhakika wa kula, wakipata chakula watakipika kwa nishati ya bei ya chini zaidi.

Wadau mbalimbali waliotoa mapendekezo yao kuboresha miswada hiyo wamehisi kudharauliwa, wakimtaka Rais Samia asikubali kutia doa mchakato wa mageuzi aliouasisi kwa kusaini miswada hiyo kuwa sheria.

Serikali iweke msisitizo kwa vyombo vya habari kujitengenezea utaratibu mzuri wa kutoa maudhui yake ili visiruhusu kila mtu ambaye ni rafiki wa mmiliki, kuwa mtangazaji na mchambuzi.

Bila ya mkakati wa masoko au wa uhamasishaji ulioandaliwa na TFF, kamati ya hamasa inaweza isifanye kazi kwa ufanisi na kuishia kukosolewa, kudhihakiwa na kutukanwa

Matarajio ya vijana wengi ni kuona wanakuwa na chombo kitakachoweza kuwaunganisha vijana wote nchini bila ya kujali itikadi zao za kisiasa, kidini na kikabila

Ni muhimu kuikumbusha Taifa Stars kuhusu maandalizi ambayo ndiyo muhimu kujenga timu ambayo inastahili kuombewa kila la heri.

Falsafa ya CHADEMA ya nguvu ya umma inaendana na itikadi ya ujamhuri, iliyoibuliwa na chama hicho kwa mazingira yao ya Tanzania.