
Zitto Kabwe: Kwa Nini ACT-Wazalendo Tumeamua Kuwa na Ofisi?
Kama hatuwezi kujenga ofisi yetu wenyewe, tutaweza kujenga miundombinu mikubwa ya umwagiliaji?

Kama hatuwezi kujenga ofisi yetu wenyewe, tutaweza kujenga miundombinu mikubwa ya umwagiliaji?

Dira yake ya kutaka kuigeuza Zanzibar kuwa ‘Singapore ya Afrika’ ilitawala mkutano wa kuenzi urathi wake kwenye elimu.

Wadau wabainisha ukosefu wa uratibu serikalini na maamuzi kufanywa bila kushirikisha wahusika.

Ni nini Afrika kama bara inaweza kufanya kuiepusha na viongozi wa aina ya kina Dos Santos? Jibu linaweza kuwa gumu kuliko swali.

Ukosefu wa uhuru wa mwanafasihi hupelekea kushamiri kwa fasihi pendwa ambayo haina msaada kwa jamii kama yetu ya Kitanzania yenye matatizo lukuki ya kiuchumi, kisiasa na kijamii.

Ni hafla ya Mjue Mtunzi, iliyoandaliwa na Umoja wa Waandishi wenye Dira (UWARIDI).

In our briefing today: Murder case involving twenty Loliondo residents postponed to July 14; USAID provides $9 million to WFP to help feed refugees in Tanzania; CRDB, climate change fund agree on climate resilience for farmers; Govt earmarks 400,000 hectares of land for wheat cultivation; Wild animals killed 49 in Ngorongoro in 2021, govt says.

The murder case involving over twenty Maasai from Loliondo was on Thursday postponed at the Arusha Resident Magistrate’s Court as the investigation of the case was incomplete. The hearing of the case is now pushed to July 14, 2022.

Hatua hizi zinazingatia mazingira ya namna mchakato wa Katiba Mpya ulivyoanza mwaka 2011; namna sheria muhimu za kuongoza mchakato zilivyopitishwa; utata uliojitokeza baada ya kukamilika kwa Rasimu ya Katiba Mpya; na mapungufu yaliyoukumba mchakato wa uwasilishaji rasimu kwenye Bunge Maalum la Katiba.

It is believed that the case is connected with the murder of a police officer in Ngorongoro.