
Catherine Ruge: Mambo Niliyopitia Kwenye Maisha Yamenifanya Niwe Imara Zaidi
Nje ya siasa na harakati, Catherine anatumia muda mwingi na watoto wake, anasema pia anakipenda sana kitanda chake.

Nje ya siasa na harakati, Catherine anatumia muda mwingi na watoto wake, anasema pia anakipenda sana kitanda chake.

Mjumbe huyo wa Kamati Kuu ya ACT-Wazalendo anaieleza The Chanzo kwenye mahojiano maalumu kwamba hajutii chama chake kujiunga na Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar kwani maridhiano yanahitajika kujenga taifa katika misingi ya umoja na maendeleo endelevu.

In our briefing, today: Drama as police produce Mbowe in court; Misinformation spikes as Tanzania seeks to roll out its covid vaccination plan; TZ woman held with remdesivir vials at Delhi airport; and TEC: We don’t discriminate against people based on political affiliation

Ni mambo ambayo wananchi wanategemea Rais Suluhu kuyafanyia kazi ndani ya siku zake 100 tangu aapishwe kuwa Rais wa Tanzania.

Hatutarajii Rais Samia atakuwa na falsafa, maono na dira ile ile ya mtangulizi wake bila kupishana hata kidogo. Hivyo basi, anapaswa kupewa fursa ya kuipanga upya safu yake ya uongozi ili kuendana na dira yake.

Jamii yetu imejikita kuangalia viongozi kama watoa dira, kiasi cha hata kusahau au kupuuza kwamba hao viongozi nao ni sehemu ya jamii.

Zuhura Yunus and Salim Kikeke, two Tanzanian television presenters working with the British Broadcasting Corporation (BBC) – Swahili in London, United Kingdom, are facing an out-of-hand denunciation on social media, as they’re being accused of ‘sabotaging’ the country.

Lengo lisiwe kumpa nguvu mwanamke au mwanamme bali kumpa nguvu binadamu bila ya kujali jinsia yake, ili kila mmoja katika jamii achangie kwa ujuzi na maarifa aliyonayo. Ni hapo ndipo utakapopatikana usawa wa kweli wa kijinsia.

Watawala wanazibadili katiba ili waendelea kubakia madarakani. Katika kundi hilo kuna waliokwenda kinyume na kauli zao wenyewe kwamba wameingia madarakani sio kubakia kama wale waliowatangulia bali wataondoka watakapomaliza mihula yao kikatiba.

Tanzania inatajwa kutokuwa vizuri kwenye eneo la haki na usalama wa kimtandao. Serikali na makampuni ya simu ni wadau wawili wakuu wanaotupiwa lawama kwa hali ambayo Tanzania inajikuta kwa sasa kwenye eneo hilo.