
Zuhura Yunus: Nimeandika Kitabu Kufuta Dhana Kwamba Wanawake wa Kizanzibari ni Legelege
Ni kitabu cha Biubwa Amour Zahor: Mwanamke Mwanamapinduzi, kilichozinduliwa Novemba 6, 2021.

Ni kitabu cha Biubwa Amour Zahor: Mwanamke Mwanamapinduzi, kilichozinduliwa Novemba 6, 2021.

Wimbi la mapinduzi ya kijeshi linaloikumba Afrika kwa sasa, pamoja na ulegevu wa hatua za Umoja wa Afrika, kunaifanya kauli kwamba matatizo ya Afrika yatatuliwe na Waafrika wenyewe isiyoendana na uhalisia.

Kansela huyo wa kwanza mwanamke nchini Ujerumani anategemewa kuachia ngazi mwisho mwa mwaka huu baada ya kulitumikia taifa hilo la Ulaya kwa kipindi cha miaka 16.

Nje ya siasa na harakati, Catherine anatumia muda mwingi na watoto wake, anasema pia anakipenda sana kitanda chake.

Mjumbe huyo wa Kamati Kuu ya ACT-Wazalendo anaieleza The Chanzo kwenye mahojiano maalumu kwamba hajutii chama chake kujiunga na Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar kwani maridhiano yanahitajika kujenga taifa katika misingi ya umoja na maendeleo endelevu.

In our briefing, today: Drama as police produce Mbowe in court; Misinformation spikes as Tanzania seeks to roll out its covid vaccination plan; TZ woman held with remdesivir vials at Delhi airport; and TEC: We don’t discriminate against people based on political affiliation

Ni mambo ambayo wananchi wanategemea Rais Suluhu kuyafanyia kazi ndani ya siku zake 100 tangu aapishwe kuwa Rais wa Tanzania.

Hatutarajii Rais Samia atakuwa na falsafa, maono na dira ile ile ya mtangulizi wake bila kupishana hata kidogo. Hivyo basi, anapaswa kupewa fursa ya kuipanga upya safu yake ya uongozi ili kuendana na dira yake.

Jamii yetu imejikita kuangalia viongozi kama watoa dira, kiasi cha hata kusahau au kupuuza kwamba hao viongozi nao ni sehemu ya jamii.

Zuhura Yunus and Salim Kikeke, two Tanzanian television presenters working with the British Broadcasting Corporation (BBC) – Swahili in London, United Kingdom, are facing an out-of-hand denunciation on social media, as they’re being accused of ‘sabotaging’ the country.