
Mchumi Jeffrey Sachs Anavyouchambua Umasikini Kwenye ‘The End of Poverty’
Nikiri kuwa ni kitabu kizuri kuanzia muundo na maudhui yake; mwandishi, kama mshauri-elekezi mzoefu katika suala zima la uchumi na sera zake, amekitendea haki na itifaki.

Nikiri kuwa ni kitabu kizuri kuanzia muundo na maudhui yake; mwandishi, kama mshauri-elekezi mzoefu katika suala zima la uchumi na sera zake, amekitendea haki na itifaki.

Riwaya hii imeandikwa katika dhana ya anthropomofiki, yaani sifa, hisia na hulka za binadamu zimefanywa na kutekelezwa na wanyama, ili kusawiri mapinduzi ya kiutawala yaliyofanyika huko Urusi miaka ya 1917.

Tafiti mbalimbali zinaonesha kwamba familia zinazoimarisha maadili na kuwasiliana vizuri hujenga kizazi cha watoto wenye ujasiri na maadili mema

Utunzi wa ilani ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa unakusudia kutoa dira na muelekeo wa pamoja, kama chama, kuhusiana na vijiji na mitaa tunayotaka kuijenga.

Kitabu cha Paulo Freire, Pedagogy of the Oppressed, kinaweza kutusaidia kulifahamu tatizo linalotukabili kama Watanzania, na namna ya kulitatua.

Uanzishwaji holela wa vyombo vya habari na ukosefu wa wahariri maalumu wa lugha katika vyombo vingi vya habari huchangia pa kubwa kulikuza tatizo hili.

Utafiti mpya unaweka wazi kwamba mwenendo wa polepole, au wa kusitasita, pekee hautatosha kuilinda Tanzania dhidi ya kurudi kwa sera umizi ya kujitenga ya kiongozi wake aliyepita.

Ni ngumu sana kwa wananchi kushiriki kikamilifu kwenye juhudi za maendeleo ya taifa kama hakutakuwepo na tumaini linaloeleweka kwao vizuri.

Isingekuwa rahisi kwao kufanya makosa wanayofanya, na wangefaidika sana na mafunzo yanayohusu uadilifu na uwajibikaji.

Eid Al Fitr itutafakarishe kuhusu mustakabali wa jamii zetu, ikiwemo kujiuliza endapo kama tunatoa mchango wetu ipasavyo kuzifanya kuwa bora zaidi kuliko zilivyo sasa.