
Humphrey Polepole Ajiuzulu Ubalozi Nchini Cuba: ‘Nakosa Amani ya Moyo na Imani Katika Uongozi Niliopo Ndani Yake Sasa’
“Kwa kuwa siwezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na utii wa misingi ya katiba ya nchi na chama, haki, maadili, utu na uwajibikaji kwa wananchi, nimeamua kwa hiari yangu kujiuzulu nafasi yangu ya uongozi na utendaji serikalini.”








