Falsafa ya Maendeleo Inayoeleweka kwa Umma ni Msingi Imara wa Ukombozi wa Taifa
Ni ngumu sana kwa wananchi kushiriki kikamilifu kwenye juhudi za maendeleo ya taifa kama hakutakuwepo na tumaini linaloeleweka kwao vizuri.
Ni ngumu sana kwa wananchi kushiriki kikamilifu kwenye juhudi za maendeleo ya taifa kama hakutakuwepo na tumaini linaloeleweka kwao vizuri.
In our briefing today: Tanzania inches closer to becoming Africa’s critical minerals hub with new refinery license to Lifezone Metals; Tanzania plans high-resolution survey to 30 percent of it’s land to boost mining ; Foregrounding human dignity is key to protecting indigenous peoples’ rights in protected areas;
The choice of ‘human dignity’ as a reference framework underscores its foundational and all-encompassing usage under international human rights law, including equality and non-discrimination.
The choice of ‘human dignity’ as a reference framework underscores its foundational and all-encompassing usage under international human rights law, including equality and non-discrimination.
Taarifa ya “mchele ulioongezewa virutubisho” yazua gumzo mitandaoni, huku baadhi wakihoji endapo kama mchele huo ni wa GMO.
Hizi hapa sababu nne za kwa nini SUK Zanzibar imefeli na kwa nini ni wakati wa kutafakari mbinu mbadala za ushiriki wa upinzani katika Serikali.
Mtihani pekee wa Zitto Kabwe unalenga katika jambo moja tu: kumpa nafasi Semu kufanya kazi bila kuingiliwa na kiongozi wa awali.
Tunaweza kabisa kumpa maua yake Hayati Ali Hassan Mwinyi kama Baba wa Mageuzi nchini. Hajapewa hii heshima yake vya kutosha.
Mwinyi, aliyeaga dunia Februari 29, alikuwa tayari kusalimisha wadhifa wake wa uwaziri kutokana na uzembe wa wengine, na aligoma kugombea urais wa nchi, akiridhika kikamilifu na cheo chake cha urais wa Zanzibar.
Katika taarifa ya Serikali iliyotolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa usiku wa kuamkia Machi 1, 2024, amesema mwili wa Hayati Ali Hassan Mwinyi utaagwa leo, Ijumaa katika uwanja wa Uhuru kuanzia saa nane mchana baada ya swala ya Ijumaa katika Msikiti Mkuu wa BAKWATA ambapo Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakary Zuberi ataongoza dua.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved