Aliyepewa Kesi na Askari wa Hifadhi na Kufungwa Miaka 20 Aachiliwa Huru. Ushahidi Ulipikwa, Mahakama Yatoa Onyo
Ni wakati sasa vyombo vya usimamizi wa sheria kuboresha namna wanavyofanya ukamataji, upelelezi na uendeshaji wa kesi zinazohusu wanayamapori na haki jinai kwa ujumla,” Mahakama yaamuru.