
Rostam Aziz Adaiwa Kushikilia Zaidi ya Bilioni Tatu za Mafao ya Wafanyakazi Wake wa Zamani
Wafanyakazi hao wanamlalamikia Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ambaye alikuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo wakati wafanyakazi hao kutoka idara mbalimbali na maeneo mbalimbali ya nchi walikuwa wakiitumikia kampuni hiyo.




