Bila Uhuru wa Mwanafasihi, Fasihi Haiwezi Kuwa Chombo cha Ukombozi wa Umma
Ukosefu wa uhuru wa mwanafasihi hupelekea kushamiri kwa fasihi pendwa ambayo haina msaada kwa jamii kama yetu ya Kitanzania yenye matatizo lukuki ya kiuchumi, kisiasa na kijamii.