The list includes 38 Reflections on Mwalimu Nyerere by Prof Mark Mwandosya and Ambassador Juma Mwapachu which Zitto calls his “Book of The Year for 2022.”
The list includes 38 Reflections on Mwalimu Nyerere by Prof Mark Mwandosya and Ambassador Juma Mwapachu which Zitto calls his “Book of The Year for 2022.”
Watu ambao hawaonekani juu ya majukwaa ya kisiasa ndio kipimo halisi cha uhuru wa taifa. Kama kundi hilo kubwa la watu linaigopa Serikali basi taifa limehama tokea miaka kadhaa ya uhuru limeingia kwenye miaka kadhaa tangia siku ya uhuru.
Kama hatuwezi kujenga ofisi yetu wenyewe, tutaweza kujenga miundombinu mikubwa ya umwagiliaji?
Tushindane na wale waliotuzidi kwa unafuu wa bei badala ya kubweteka na kujiliwaza kuwa tunafanya vema kwa kigezo cha tuliowazidi.
Nothing for in Tanzania there is no law that specifically regulates the collection and processing of personal information or data.
Nani kati yetu asiyekerwa na kitu kimoja au kingine kinachofanywa na watu wengine kwenye nchi hii? Tutavikataza vyote hivyo?
Ndiyo maana uwindaji wa wanyama pori kwa ajili ya burudani unakubaliwa na hata kuhamasishwa.
Ni wajibu wa walio kwenye mamlaka kutoa majibu na kuwajibika kwa wananchi.
What happened in Congo cannot and should not be relegated to the past. The cold-blooded nature with which the Belgians went about their business in Congo needs to be openly confronted today.
Ukosefu wa uhuru wa mwanafasihi hupelekea kushamiri kwa fasihi pendwa ambayo haina msaada kwa jamii kama yetu ya Kitanzania yenye matatizo lukuki ya kiuchumi, kisiasa na kijamii.