Zitto Kabwe’s Ten Book Recommendations For 2023

The list includes 38 Reflections on Mwalimu Nyerere by Prof Mark Mwandosya and Ambassador Juma Mwapachu which Zitto calls his “Book of The Year for 2022.”
Ni Miaka 61 ya Uhuru Kweli?

Watu ambao hawaonekani juu ya majukwaa ya kisiasa ndio kipimo halisi cha uhuru wa taifa. Kama kundi hilo kubwa la watu linaigopa Serikali basi taifa limehama tokea miaka kadhaa ya uhuru limeingia kwenye miaka kadhaa tangia siku ya uhuru.
Zitto Kabwe: Kwa Nini ACT-Wazalendo Tumeamua Kuwa na Ofisi?

Kama hatuwezi kujenga ofisi yetu wenyewe, tutaweza kujenga miundombinu mikubwa ya umwagiliaji?
Watanzania Tunahitaji Intaneti Kwa Bei Tutamudu

Tushindane na wale waliotuzidi kwa unafuu wa bei badala ya kubweteka na kujiliwaza kuwa tunafanya vema kwa kigezo cha tuliowazidi.
What Happens When Your Personal Data Are Used for Malicious Motives?

Nothing for in Tanzania there is no law that specifically regulates the collection and processing of personal information or data.
Tutapiga Marufuku Vitu Vingapi Kwa Kuwaletea ‘Ukakasi’ Watu Wengine?

Nani kati yetu asiyekerwa na kitu kimoja au kingine kinachofanywa na watu wengine kwenye nchi hii? Tutavikataza vyote hivyo?
Kashfa ya Loliondo Inatuonyesha Kwamba Uhifadhi Tanzania Upo Kwa Malengo ya Kibiashara, Siyo Kulinda Mazingira

Ndiyo maana uwindaji wa wanyama pori kwa ajili ya burudani unakubaliwa na hata kuhamasishwa.
Serikali ya Mwinyi ni Muhimu Ikajibu Maswali Haya Muhimu

Ni wajibu wa walio kwenye mamlaka kutoa majibu na kuwajibika kwa wananchi.
Patrice Lumumba: The Rise of an African Hero

What happened in Congo cannot and should not be relegated to the past. The cold-blooded nature with which the Belgians went about their business in Congo needs to be openly confronted today.
Bila Uhuru wa Mwanafasihi, Fasihi Haiwezi Kuwa Chombo cha Ukombozi wa Umma

Ukosefu wa uhuru wa mwanafasihi hupelekea kushamiri kwa fasihi pendwa ambayo haina msaada kwa jamii kama yetu ya Kitanzania yenye matatizo lukuki ya kiuchumi, kisiasa na kijamii.