Msamiati wa Kiswahili Usipotumiwa Vizuri Hudhihirisha Weledi Hafifu wa Lugha na Kupotosha Ujumbe
Hatuwezi kukiuka misingi, taratibu na kanuni za lugha kama kweli tunataka taarifa tunazokusudia kuzifikisha kwa hadhira, zifike kama tulivyokusudia na zilete athari inayostahiki.