Laiti Kama Watawala Wetu Wangekuwa na Muda wa Kusoma Kazi za Fasihi
Isingekuwa rahisi kwao kufanya makosa wanayofanya, na wangefaidika sana na mafunzo yanayohusu uadilifu na uwajibikaji.
Isingekuwa rahisi kwao kufanya makosa wanayofanya, na wangefaidika sana na mafunzo yanayohusu uadilifu na uwajibikaji.
ZBC, ambalo ungedhani lingekuwa na uwezo na utashi wa kuwa na mhariri mahususi wa lugha, haliwezi kutegemewa kufanya makosa ya lugha yatokanayo na uzembe na kukosekana kwa umakini.
Pamoja na ufasaha wa lugha na lafudhi nzuri, Hayati Mwinyi anatajwa kuwa mwandishi mzuri anayejua kuzingatia taratibu za uandishi, mantiki ya tungo, mpangilio wa maneno, sentesi na vifungu vya habari.
Ni afadhali vyombo vya habari vikafanya makosa makubwa ambayo yanaweza kugunduliwa kuwa yanatokana na uhaba wa maarifa husika; ni aibu kwao kufanya makosa madogo madogo na ya kizembe.
Jambo linalosikitisha zaidi kwenye makosa ya Kiswahili yanayofanywa na wanahabari ni kwamba makosa hayo hufanywa na vyombo vya habari vya Tanzania, nchi inayojinasibu zaidi na Kiswahili sanifu na fasaha.
Suala la matumizi mabovu ya Kiswahili katika vyombo vya habari, hasa vya Tanzania, limeshitadi na kukithiri mno. Sababu za makosa haya zinaweza kuwa nyingi, ikiwemo kukosekana kwa weledi wa lugha miongoni mwa waandishi wa habari.
Ukosefu wa uhuru wa mwanafasihi hupelekea kushamiri kwa fasihi pendwa ambayo haina msaada kwa jamii kama yetu ya Kitanzania yenye matatizo lukuki ya kiuchumi, kisiasa na kijamii.
Warsha za ufundaji wa fanani, watunzi na wahakiki, uwekezaji wa kutosha, uhamasishaji na usimamizi bora vitasaidia sana katika kuimarisha ufahamu wa kitaalamu na utambuzi mpana katika utunzi, uwasilishaji na uhakiki wa kazi za fasihi, kwa kuzingatia kunga zake.
Wanahabari wanadhima ya kukieneza Kiswahili kikiambatana na ustaarabu, usahihi, usanifu, ufasaha, utamaduni na kunga zake.
Hatua kubwa kati ya hizi ni utashi wa kisiasa kutoka kwa watu waliopewa dhima ya kuendesha nchi.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved