Inachoweza Kufanya Zanzibar Kuhakikisha Watoto Wanaorudishwa Skuli Hawarudi Mitaani
Ubunifu unahitajika sana katika ufundishaji wa watoto hawa ili kuwawezesha watamani kubaki madarasani badala ya kurudi mitaani.
Ubunifu unahitajika sana katika ufundishaji wa watoto hawa ili kuwawezesha watamani kubaki madarasani badala ya kurudi mitaani.
Hatua hizi zinazoendelea kuchukuliwa kuboresha sekta ya elimu Zanzibar hazitazaa matunda endapo kama wale wanaopewa dhamana hawatachukua jitihada za makusudi katika kurekebisha vikwazo vilivyopo ili changamoto za sekta ya elimu kutatuliwa ipasavyo.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved